• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

Mkuu wa wilaya Newala Mhe. Rajabu Kundya azindua Zahanati kijiji cha Amani Kata ya Mcholi I

Posted on: November 27th, 2021

Mkuu wa wilaya Newala Alhaj Mwangi Rajabu Kundya leo Jumamosi Tarehe Novemba 27, 2021 amezindua Zahanati  ya Amani iliyopo ya kijiji cha Amani, Kata ya Mcholi I halmashauri ya mji Newala, huku akiwataka wananchi kutoa ushirikiano kwa watoa huduma.

Alhaj Kundya amesema, dhamira ya serikali ni kuwatumikia wananchi wake kwa kuwapatia huduma bora zenye ustawi kwa jamii yote kama ilivyojimbambanua kwenye mipango wake mbalimbali na ndio maana ipo mstari wa mbele katika kujenga miundombinu muhimu katika sekta zote.

Kundya amebainisha kuwa afya ndio ustawi wa maisha ya mwanadamu na kupatikana kwa zahanati hiyo ni hatua ya kuokoa maisha ya wananchi kutokana na maradhi hivyo wakazi wa eneo hilo washirikiane na wafanyakazi wa kituoni hicho katika kufanikisha utoaji na upatikanji wa huduma bora za afya.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa halamashauri hiyo Bi. Shamim Daudi Mwariko amesema halmashauri kazi yake ni kusimamai ukutekelezaji wa mipango ya serikali ambayo imelenga kupeleka huduma zote muhimu karibu na wananchi wenyewe na ndio maana kazi hiyo imesimamiwa kikamilifu na halmashauri.

Hata hivyo Mwariko amemshukuru Mbunge wa jimbo hilo Mhe. George Mkuchika kwa kuwatafuta wadau wamaendeleo kutoka Nchini Japan waliotoa fedha shilingi milioni 139.5 kwa ajili ya ujenzi wa zahanati hiyo na fedha zingine kama hizo kujenga zahanati ya Mahumbika amabayo nayo tayari imeshaanza kufanya kazi.

Diwani wa Kata hiyo Mhe. Maarufu Chakane amesema, kuzinduliwa kwa zahanati hiyo ni furaha ya aina yake kwa wakazi wa Kata hiyo yenye vijiji vya Amani, Pachoto, Mnalale, Chiunjila na Chikwedu ambao awali walikua wanapata huduma za afya kwenye Kata jirani za Mkunya na Mcholi II lakini kwasasa uwepo wa zahanati hiyo ni ukombozi kwao.

Akiongea kwa niaba ya wananchi Mwenyekiti wa Kijiji hicho Bw. Athumani Mkuka wamesema wanaishukuru serikali na idara zake zote kutokana na jambo hilo kubwa ambalo kwao ni sherehe, huku akisisitiza kutoa ushirikiano kwa watumishi na ulinzi wa miundombinu ya zahanati.

Aidha katika siku hiyo ya uzindizi wananchi walishiriki katika ujenzi wa nyumba ya Mganga wa Zahanati itakayogharimu shilingi milioni 36,  milioni 6 ikiwa ni thamani ya nguvu za kujitolea toka kwa wananchi na milioni 30 ni fedha za mapato ya halmashauri huku mwananchi mmoja ajitolea nyumba yake kwa ajili ya kuishi mganga mpaka ujenzi utakapo kamilika.

Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bilioni 21.5 baji ya Mji Newala 2023/2024

    August 04, 2023
  • Tupo nanenane kutoa elimu kwa wananchi itakayobadilisha mitazamo yao kwenye kilimo.

    August 02, 2023
  • Serikali imesema wanawake na vijana wanaweza kukuza kilimo biashara na kuwa endelevu

    August 01, 2023
  • Mkuu wa mkoa Mtwara aridhishwa na utekelezaji wa miradi ya BOOST na ujenzi wa mabweni

    July 29, 2023
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa