• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

Serikali yasema malipo yote ya Korosho yatakamilika February

Posted on: January 28th, 2019

Serikali imewatoa hofu wakulima wa korosho kuwa watalipwa fedha zao muda mfupi ujao huku ikiweka wazi  tayari imeshatoa fedha zote za malipo na kilichobaki ni kukamilisha taratibu za uhakiki kwa baadhi ya wakulima na zoezi hilo linatarajia kukamilika ndani ya mwezi wa pili.

Hayo wameelezwa jumamosi 26th,01,2019 na Naibu Waziri wa Kilimo Mheshimiwa Omary Mgunda, wakati anazungumza na wananchi wa kijiji cha Moneka kilichopo kata ya Mtonya ndani ya halmashauri ya Newala akiwa kwenye ziara yake ya kikazi wilayani Newala.

Naibu Waziri wa Kilimo Mhe. Omary Mgumba

Mhe. Mgunda amekiri uwepo wa kuchelewa kulipa wakulima kutokana na changaomoto iliyojitokeza ya kuwa na mnunuzi mmoja ambaye ni serikali baada ya wanunuzi kugomea kununua korosho kwa maslahi ya mkulima, kuchelewa kuanza msimu wa ununuzi na ugeni wa bodi ya nafaka na mazao mchanganyiko baada ya kufanyiwa mabadiliko.

Aidha ameeeleza kuwa kumekuwa upotoshwaji wa taarifa unaotokana na kukosekana na uwazi wa taarifa za nani amelipwa na nani hajalipwa kwani hadi sasa kiasi cha shilingi bil. 48 kati ya bil. 61 zimelipwa kwa wakulima wilayani Newala na ameagiza kuanzia sasa majina yote ya wakuliwa waliolipwa yawekwe kwenye mbao za matangazo.

Awali akisoma taarifa ya zao la korosho Mkuu wa Wilaya Newala Mhe. Aziza Mngosongo amesema kwa msimu wa mauzo wa 2018/2019 jumla ya tani 20,969.160 za korosho zimeuzwa kutoka kwa wakulima 64,905 wilayani hapa na wakulima hao 58,569 kati yao wameshafanyiwa uhakiki na 6,336 wanaendelea na zoezi la uhakiki , huku tani 19,910.231 zimeshahakikiwa.

Akiongea kwa niaba ya wakulima wa korosho Nchini, Bwana, Jafari Hakika Mbota amempongeza Rais Dkt. John Magufuli kwa hatua aliyoichukua ya kuwakomboa wakulima kwa kununua korosho, lakini amewataka wasimamizi wa malipo wasimtie doa Mhe. Rais kwa kuchelewesha malipo kwani wakulima wapo kwenye hali mbaya ya kiuchumi na kwa wale ambao hawalipwa upo uwezekano mkubwa wa kushindwa kufanya maandalizi ya kilimo katika kipindi kinachoendelea cha masika.



Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bilioni 21.5 baji ya Mji Newala 2023/2024

    August 04, 2023
  • Tupo nanenane kutoa elimu kwa wananchi itakayobadilisha mitazamo yao kwenye kilimo.

    August 02, 2023
  • Serikali imesema wanawake na vijana wanaweza kukuza kilimo biashara na kuwa endelevu

    August 01, 2023
  • Mkuu wa mkoa Mtwara aridhishwa na utekelezaji wa miradi ya BOOST na ujenzi wa mabweni

    July 29, 2023
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa