• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

Shilingi Bilioni 16 yainidhinishwa kuwa bajeti mpya halmashauri ya mji Newala

Posted on: August 21st, 2019

Halmashauri ya mji Newala imeidhinishiwa bajeti ya shilingi bilioni 16.3 na bunge la bajeti lililoishia Juni 2019 kwa ajili ya kukusanja na kutumia ili kutekeleza bajeti yake ya maendeleo ya mwaka 2019/2020.

Hayo yameelezwa jana Juni 19,2019 na Afisa mipango wa halamashari hiyo Bi. Sophia Makungu wakati anasoma taarifa ya bajeti idhinishwa ya halmashauri hiyo kwa mwaka fedha 2019/2020 kwenye mkutano wa baraza la madiwani wa robo ya nne 2018/2019

Kwa upande wake Mkurugenzi wa halmashauri hiyo Ndg. Andrew Mgaya amesema ili bajeti hiyo iweze kufikia malengo kusudiwa ni lazima kuwe na ushirikianao katika kuisimamia hasa katika kukusanya mapato ya ndani kupitia tozo zilizopo kisheria.

Aidha amewasisitiza waheshimiwa madiwani kuwa mstari wa mbele kuwahamasisha wananchi kuanzisha miradi mbalimbali ya maendeleo kwenye maeneo yao, na jambo hilo likifanyika kwa ukamilifu utekelezaji wa bajeti hiyo utafikia asilimia 100.

Naye Mwenyekiti wa halmashuri hiyo Mhe. Sambili Mohamedi amesema ili kufikia malengo ya bajeti hiyo kuelekea msimu mpya wa korosho 2019/2020 ni lazima kuwe na usimamisimu madhubuti wa kuziba mianya ya utoroshaji korosho kwenda halmashauri nyingine au uuzaji kwa njia ya kangomba.

Hata hivyo amezitaja Kata za Mkunya, Mcholi1, Mcholi2 na Nanguruwe kuwa ni maeneo ambayo yana njia nyingi za kutorosha korosho hivyo amewataka Maafisa watendaji kuwa makini pamoja na madiwani kutowatetea wananchi wao pale wanapokamatwa na makosa kwani kufanya hiyo ni kuikosesha halmashauri mapato.

Kwa upande mwingine ametoa pongezi kwa Mkurugenzi wa halmasshauri kwa kuchaguliwa na baraza la ushauri la Mwa Mtwara kuwa mkurugenzi bora kati ya wakurugenzi wote 9 wa mkoa huo kwa kuisimamia vizuri halmashauri yake kwenye matumizi bora ya fedha na kutekeleza miradi ya maendeleo kikamilifu.

Picha







Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bilioni 21.5 baji ya Mji Newala 2023/2024

    August 04, 2023
  • Tupo nanenane kutoa elimu kwa wananchi itakayobadilisha mitazamo yao kwenye kilimo.

    August 02, 2023
  • Serikali imesema wanawake na vijana wanaweza kukuza kilimo biashara na kuwa endelevu

    August 01, 2023
  • Mkuu wa mkoa Mtwara aridhishwa na utekelezaji wa miradi ya BOOST na ujenzi wa mabweni

    July 29, 2023
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa