• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

TAASISI NA VITENGO VINAVYOSIMAMIA USAFI MSHIRIKIANE KUTOA ELIMU KWA JAMII

Posted on: August 19th, 2025

Taasisi na vitengo vinavyosimamia usafi wa mazingira halamshauri ya Mji Newala, zimetakiwa kushirikiana kutoa elimu wa uhifadhi mazingira na utunzaji wa miundo mbinu ya barabara kwa wananchi.

Agizo hilo limetolewa na mwenyekiti wa mkutano wa baraza la madiwani ambaye pia ni Mkurugenzi wa halmashauri ya Mji Newala Ndg. Geofrey Nnauye katika kikao cha robo ya nne 2024/2025.

“Tuelimishe umma tupite kwenye mitaa na P.A ili tutoe elimu juu ya uhifadhi wa barabara, masuala ya usafi wa mazingira ni kujukumu la kila mwananchi kufahamu umuhimu wake ikiwezekana tutumie na sheria”.

Nnauye amesisistiza kuwa serikali inaleta fedha nyingi kutekeleza miradi ya Barabara hata sasa zipo barabara za mitaa 11 zinazoenda kujengwa kwa kiwango cha kimataifa hivyo lazima wananchi wapewe elimu ili wazitunze.

Mwenyekiti huyo ametoa agizo hilo kufuatia changamoto iliyowasilishwa na meneje wa wakala wa barabara vijijini na mijini (TARURA) wilayani Newala Mwandisi Sylvester Balama ambaye alieleza wananchi wanachoma taka wenye mitaro ya barabara na kuchoto mchanga katikati ya barabara za udongo.

“Changamoto kubwa wananchi kutupa taka na kuzichoma moto zikiwa kwenye mitaro, mitaro ile imejengwa kwa mawe na saruji kwahiyo ukichoma moto ni wazi kuta zitapasuka”

Hata hivyo Mwandisi Balama ameeleeza katika robo ya nne serikali imewapatia kiasi cha shilingi milioni 190 kwa ajili ya kuendelea kutekeleza miradi ya maendeleo ikiwemo na mradi wa barabara ya Kiuta-Mkunya pamoja na barabara ya Chitandi.

Kwa upande katibu tawala wa wilaya ya Newala Ndg. Thomas Safari amesisitiza kuwa jukumu la kudhibiti uharibifu wa mazingira ninapaswa kusimamiwa na taasisi, wadau na jamii yote ili kuepuka athari zaidi.

Halmashauri ya Mji Newala imefanya mkutano wa baraza la madiwani chini ya Mkurugenzi na kamati ya wataalam (CMT) kutokana na kuvunjwa kwa baraza la madiwani waliochaguliwa na wananchi kwa mujibu wa sheria baada ya kufika ukomo wake.

Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MHE. KUNDYA AWAAGIZA WATAALAM WA KILIMO NA FEDHA KUWAELISHA WAKULIMA KUHUSU UTUNZAJI WA FEDHA

    August 20, 2025
  • TAASISI NA VITENGO VINAVYOSIMAMIA USAFI MSHIRIKIANE KUTOA ELIMU KWA JAMII

    August 19, 2025
  • MAAFISA UGANI WAPATIWA MAFUNZO YA MFUMO WA UTAMBUZI WA WANYAMA

    August 16, 2025
  • JAMII YATAKIWA KUWAAMINI VIJANA NA KUWAPATIA FURSA

    August 14, 2025
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa