• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

WAHITIMU WA STASHAHADA UUGUZI NA UKUNGA WATAKIWA KUJIEPUSHA NA VITENDO VYA RUSHWA

Posted on: July 31st, 2025

Wahitimu wa stashada katika chuo cha Uuguzi na Ukunga Newala, wametakiwa kuzingatia maadili ya kazi wawapo kazini na kujiepusha na vitendo vya rushwa.

Rai hiyo imetolewa na mgeni rasmi wa mahafali ya wahitimu 67 mwaka 2025, Mkurugenzi wa halmashauri ya Mji Newala Ndg. Geofrey Nnauye akimuwakilisha Mkuu wa wilaya Newala Mhe. Mwangi Kundya.

Aidhq Ndg. Nnauye amewahimiza uadilifu kazini pale wanapokuwa katika ajira “mnapokuwa kazini jiepusheni sana ujanja ujanja zingatieni maadili ya kazi msipende fedha jiepusheni na rushwa”

Kwa upande wake Jaji wa Mahakama kuu kanda ya Mtwara Mhe. Martha Mpaze amewahasa wahitimu hao kwenda kuwahudumia wananchi bila kuwabagua kwa kuwa kazi yao inahitaji upendo na huruma.

“Huduma yenu ni ya huruma sana, bebeni moyo wa huruma, bebeni moyo wa upendo, mkaokoe maisha ya wananchi bila kuwabagua kwa hali hazo za kiuchumi au wadhifa wao”  Amewasisitiza

Hata hivyo Mkuu wa chuo hicho Bi. Gloriana Ngole amesema wanaamini wahitimu hao watakuwa mabalozi wazuri kwakuwa wameonesha nidhani inayofaa pamoja na matokeo mazuri kwa muda wote waliokaa chuoni.

Ngole amesema “Nendeni mkaendeleze nidhamu yenu mliyonayo hata mtakapokuwa kazini, mmekuwa na ufaulu pamoja na nidhani ya hali juu makawe mabalozi wa kukitangaza chuo chetu vizuri”

Chuo cha Uuguzi na Ukunga Newala moja ya vyuo vikongwe nchini ambacho kilianzishwa mwaka 1996 kikiwa kinatoa mafunzo ya uuguzi pamoja na ukunga kwa ngazi ya stashada.

Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WAHITIMU WA STASHAHADA UUGUZI NA UKUNGA WATAKIWA KUJIEPUSHA NA VITENDO VYA RUSHWA

    July 31, 2025
  • Fedha za mfuko wa elimu shilingi milioni 155 zatekeleza miradi ya elimu Newala Mji

    July 31, 2025
  • WALIMU KIDATO CHA SITA WAPONGEZWA KWA MATOKEO MAZURI

    July 30, 2025
  • Mkurugenzi Nnauye amewapongeza wataam wa afya na watendaji wa kata utekelezaji mkataba wa lishe

    July 30, 2025
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa