• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

Wananchi Newala waishukuru Serikali, kupata gari jipya la wagonjwa Kituo cha Afya Mkunya

Posted on: June 7th, 2020

Wananchi wa halmashauri wa Mji Newala, wameishukuru serikali na mbunge wa jimbo la Newala mjini Mhe. George Huruma Mkuchika kwa kuwapatia gari la wagonjwa kwenye kituo cha Afya Mkunya.

Gari hilo limetolewa na Wizara ya Afya kwa ufadili wa GLOBAL FUND limekabidhiwa leo Alhamisi Mei 7, 2020 na Mkuu wa wilaya ya Newala Bi. Aziza Mangosongo ambae amefafanua kuwa serikali chini ya Rais Magufuli, inafanya kazi zake kwa kutekeleza ahadi zake ilizoahidi kwa vitendo kama zilivyo kwenye ilani ya Chama Cha Mapinduzi.

Aidha Mkuu wa wilaya amemshukuru Mbunge wa jimbo hilo Kapteni Mstahafu George Mkuchika kwa kazi kubwa anayoifanya ya kuwasemea wananewala mji kwenye kufanikisha kupata miradi ya maendeleo.

Akiongea baada ya kukabidhiwa gari hilo, mganga mkuu wa halmashauri hiyo Dkt. Athanas Emmanuel amesema gari hiyo ni mkombozi kwa idara ya afya kwani awali kulikuwa na changamoto ya uchakavu wa gari la wagonjwa, hivyo anaishukuru serikali kwa kutatua changamoto hiyo na ameahidi kulitunza gari hilo.

Kwa upande wake katibu wa siasa na uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Newala Ndg. Hamisi Namata, amesema CCM chini ya Dkt. Magufuliitaendelea kuwatumikia wananchi wake kwa kuwapelekea maendeleo kwa kutimiza ahadi zake, huku akitoa shukrani za Mhe. Rais na Mbunge kwa kutekeleza miradi mingi ya maendeleo katika jmbo hilo.

Baadhi ya wananchi waliohudhuria makabidhiano hayo wameishukuru serikali kwa kusikia kilio chao cha muda mrefu huku wakiahidi kuiunga mkono kwa vitendo pamoja na kulitunza gari hilo.



Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bilioni 21.5 baji ya Mji Newala 2023/2024

    August 04, 2023
  • Tupo nanenane kutoa elimu kwa wananchi itakayobadilisha mitazamo yao kwenye kilimo.

    August 02, 2023
  • Serikali imesema wanawake na vijana wanaweza kukuza kilimo biashara na kuwa endelevu

    August 01, 2023
  • Mkuu wa mkoa Mtwara aridhishwa na utekelezaji wa miradi ya BOOST na ujenzi wa mabweni

    July 29, 2023
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa