• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

Wanawake wametakiwa kujiamini katika kuzifikia haki zao na kuachana na dhana ya kupewa kipaumbele

Posted on: March 4th, 2022

Wanawake wametakiwa kudai na kuzifikia haki zao kwa njia sahihi huku wakijiamini katika utendaji wao na kuachana na dhana pamoja na mitazamo ya kupewa kipaumbele kutokana na jinsi yao.

Hayo yameelezwa leo Ijumaa Machi 04, 2022 na mgeni rasmi Mwenyekiti wa halmashauri ya Mji Newala Mhe. Yusuph Kateule wakati anafunga mdahalo wa kujadili kaulimbiu ya maadhimisho ya siku ya mwanamke duniaiani “Kizazi Cha Haki Na Usawa Kwa Maendeleo Endelevu”, uliofanyika ukumbi wa mikutano wa halamshauri ya Mji Newala.

Mhe Kateule amesema wanawake wengi wamekua na tabia ya kutaka kuonewa huruma au kupitia njia haraka ili kupata mafanikio kitu ambacho kinaondoa maana halisi ya harakati zao na kujenga taswira ya kuwa bado wanahitaji kuwezeshwa dhana ambayo kwa sasa ni potofu.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa halmashauri ya Mji Newala Bi. Shamim Mwariko amewataka wanawake kutambua umuhimu wa mwanamke kuchukua hatua yakubadili mtazamo kwa lengo la kuliinua Taifa kutokana na nguvu aliyonayo mwanamke.

Afisa Tarafa ya Newala Bi. Mary Twamgabo amesema wanawake wanatakiwa kushikamana na kuwa mabalozi wa kuwapa elimu ya kuitambua haki yao wanawake wengine ili kulifikia lengo kuu la kupata haki na usawa katika jamii.

Mkurugenzi wa taasisi ya utetezi wa wanawake na watoto Newala (NEWNGONET) Bi. Halima Nambunga amesema kwasasa malengo ya wanawake si kutafuta kuwezeshwa au upendeleo bali ni kuona namna ya kupata nafasi sawa katika Nyanja na maeneo ambayo bado hayana usawa wa kijinsia.

Maadhimisho ya siku ya mwanamke ulimwenguni yanafanyika kila mwaka ifikipo Machi 8, na kwa mwaka huu wilaya ya Newala inaadhimisha kwa kufanya shughuli mbalimbali mdahalo, maonyesho ya wajasiriamali pamoja na usiku wa Mwanamke yakianzia tarehe 4 na kuhitimishwa tarehe 6.

Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bilioni 21.5 baji ya Mji Newala 2023/2024

    August 04, 2023
  • Tupo nanenane kutoa elimu kwa wananchi itakayobadilisha mitazamo yao kwenye kilimo.

    August 02, 2023
  • Serikali imesema wanawake na vijana wanaweza kukuza kilimo biashara na kuwa endelevu

    August 01, 2023
  • Mkuu wa mkoa Mtwara aridhishwa na utekelezaji wa miradi ya BOOST na ujenzi wa mabweni

    July 29, 2023
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa