• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

Wanawake wametakiwa kuwalinda wenzao na vifo vinavyotokana na ujawazito

Posted on: March 2nd, 2023

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Newala Bi. Shamim Mwariko amewataka wanawake kuchukua hatua za kuwalinda wajawazito ili kuondokana na changamoto ya vifo wakati wa kujifungua.

Ameyasema hayo Machi mosi 2023 katika viwanja vya Hospitali ya Mji Newala wakati anaongea na wanawake waliojitokeza kwenye ufunguzi wa wa maadhimisho ya juma la siku ya mwanamke duniani ngazi ya Halmashauri.

Mkurugenzi huyo amewaeleza wanawake hao kuwa Newala bado ina changamoto ya vifo vya wajawazito vinavyotokana na uelewa mdogo wa masuala ya lishe unaopelekea kuwa na damu pungufu wakati wa kujifungua jambo linalo ongeza hatari ya vifo kwa wazazi.

Aidhai Mwariko amewaomba wanawake hao kuwa mstari mbele katika kuishauri jamii katika kuzingatia afya ya Mama na mtoto na kuacha mazoea ya matumizi ya vitu visivyo na msaada kama ulaji wa udongo na mkaa.

Katika hatua nyingine amewahasa mabinti kuulinda usichana wao na kuacha kujirahisisha kwa kufanya hivyo wataongeza thamani yao na ya mwanamke katika jamii.

Katika siku hii ya ufunguzi wa maadhimisho haya wanawake wa Halmashauri ya Mji Newala wameadhimisha kwa kufanya maandano ya hamasa, kufanya usafi katika hospitali ya Mji Newala, kuwafariji wanawake waliojifungua, wajawazito walio wodini na watoto waliolazwa pamoja na kuwatembelea wanawake walio gereza la Newala.

Kilele cha Siku ya Mwanamke duniani katika Halmashauri ya Mji Newala kitafanyika Jumamosi Tarehe 04 Machi 2023 katika kijiji cha Namiyonga.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI MAKARANI WA SENSA, MSIMAMIZI WA MAUDHUI NA MSIMAMIZI WA TEHAMA July 19, 2022
  • TANGAZO MIKOPO YA VIWANJA NA MATOFALI October 12, 2021
  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kamati ya fedha yataka wananchi kujilinda njaa kutokana na uhaba wa mvua na mafuriko

    March 23, 2023
  • Wakuu wa Idar na Vitengo wametakiwa kuacha upendeleo kwa watumishi wasiowajibika kazini

    March 20, 2023
  • Jamii, Wadau, Mashirika na wasimamizi wa sheria wametakiwa kijikita katika kuzuia ndoa za utotoni

    March 11, 2023
  • Halmashauri ya Mji Newala yashauriwa kuwekeza katika elimu ya matumizi ya mfumo wa TAUSI

    March 08, 2023
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa