Kiswahili
  • English
  • Kiswahili
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

Watumishi wa Halmashauri ya Mji Newala wamepatiwa mafunzo ya matumizi ya mfumo wa PlanRep na FFARS

Posted on: December 15th, 2021

Watumishi ya Halmashauri ya mji Newala wamepata mafunzo ya matumizi ya mfumo wa PlanRep na FFARS kwa ajili ya maandalizi ya bajeti ya halmashauri kwa mwaka wa fedha 2022/2023.

Mafunzo hayo ya siku tatu yamefanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa halmashauri hiyo kuanzia Disemba 13-15, 2021 yakiwahusisha watumishi kutoka idara na vitengo mbalimbali vya halmashauri hiyo.

Akizungumza wakati wa mafunzo hayo mwezeshaji kutoka TAMISEMI Ndg. Frank Omollo amesema mafunzo hayo yamelenga kuwaogezea watumishi ujuzi utakaosaidia kurahisisha utumiaji sahihi wa mifumo na kutoa msaada wakati wa uandaaji bajeti.

Aidha Omollo ameeleza kuwa mafunzo hayo yanasaidia katika upangaji wa bajeti za idara na vitengo vya halamshauri kwa kuzingatia vipaumbele vya serikali katika sekta husika kwa kuanzia ukusanyaji mapato na matumizi yake pasipo kuathiri bajeti kuu.

Akiongea mara baada wa mafunzo hayo Afisa TEHAMA wa Halmashauri hiyo Bw. Daud Matandiko amesema, serikali inafanya jambo la muhimu kupeleka mafunzo wa watumishi wa ngazi zote hatua ambayo inasaidia kuwapunguzia kazi wakati wa ujazaji wa taarifa kwenye mpango wa uandaaji bajeti ukizingatia kwasasa mpango umeongeza bajeti kwenye ngazi ya Kata na Vijiji.

Baadhi ya watumishi waliopata mafunzo hayo wasema wamefurahishwa na mafunzo hayo kwa kuwa yatakuwa msaada kwao wa kufuata taratibu za kibajeti  kutokana na vipaunbele vinavyohitajika pamoja na kupata uelewa wa matumizi ya mifumo ya elektroniki.

Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bilioni 21.5 baji ya Mji Newala 2023/2024

    August 04, 2023
  • Tupo nanenane kutoa elimu kwa wananchi itakayobadilisha mitazamo yao kwenye kilimo.

    August 02, 2023
  • Serikali imesema wanawake na vijana wanaweza kukuza kilimo biashara na kuwa endelevu

    August 01, 2023
  • Mkuu wa mkoa Mtwara aridhishwa na utekelezaji wa miradi ya BOOST na ujenzi wa mabweni

    July 29, 2023
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa