Posted on: August 24th, 2025
Mkuu wa Jeshi la magereza wilayani Newala SSP Sauli Mayage, amewaongoza maafisa wa jeshi hilo kuchangia damu pamoja na kufanya usafi katika hospitali ya wilaya ya Newala ikiwa ni sehemu ya uzinduzi wa...
Posted on: August 20th, 2025
Mkuu wa Wilaya Newala Mhe. Mwangi Kundya amewataka wataalam wa mausala ya kilimo na fedha kuwaelimisha wakulima juu ya utunzaji na matumizi bora ya fedha wanazozipata baada ya kuuza mazao yao.
Mhe....
Posted on: August 19th, 2025
Taasisi na vitengo vinavyosimamia usafi wa mazingira halamshauri ya Mji Newala, zimetakiwa kushirikiana kutoa elimu wa uhifadhi mazingira na utunzaji wa miundo mbinu ya barabara kwa wananchi.
Agizo...