Posted on: August 7th, 2025
Hali ya afya na lishe ya watoto ndani ya halmashauri ya Mji Newala imeendelea kuimarika kutokana na jamii kupata uelewa pamoja na kujitokeza kushiriki katika masuala yanayohusu lishe.
Hayo yamebain...
Posted on: July 31st, 2025
Wahitimu wa stashada katika chuo cha Uuguzi na Ukunga Newala, wametakiwa kuzingatia maadili ya kazi wawapo kazini na kujiepusha na vitendo vya rushwa.
Rai hiyo imetolewa na mgeni rasmi wa mahafali ...
Posted on: July 31st, 2025
Bodi ya mfuko wa elimu halmashauri ya Mji Newala na kamati tendaji ya mfuko imefanya ziara ya kukagua miradi iyopewa fedha na mfuko huo zaidi ya shilingi milioni 155 na kuridhishwa na matumizi yake.
...