Posted on: July 26th, 2023
Wataalam wa afya wanaosimamia huduma za mama mjamzito na watoto wachanga mkoani Mtwara wametakiwa kutambua lengo la Serikali la kuongeza vituo vya afya na majengo ya wazazi ni uhakika wa kuwa na uzazi...
Posted on: July 25th, 2023
Kamati ya kudhibiti UKIMWI ya Halmashauri ya Mji Newala kwa kushirikiana na wataalam wa idara ya afya imeeleza kuwa imejipanga kutoa elimu kwa wanafunzi mashuleni ili kuwaokoa na ongozeko la wahanga w...
Posted on: July 22nd, 2023
Serikali ya Jamhuri ya Muuungano wa Tanazani, imetenga shilingi bilioni 1.6 kwa mwaka wa fedha 2023/2024 kwa ajili ya kuboresha wa huduma katika sekta afya ndani ya Halmashauri ya Mji Newala.
Hayo ...