Posted on: July 31st, 2025
Wahitimu wa stashada katika chuo cha Uuguzi na Ukunga Newala, wametakiwa kuzingatia maadili ya kazi wawapo kazini na kujiepusha na vitendo vya rushwa.
Rai hiyo imetolewa na mgeni rasmi wa mahafali ...
Posted on: July 31st, 2025
Bodi ya mfuko wa elimu halmashauri ya Mji Newala na kamati tendaji ya mfuko imefanya ziara ya kukagua miradi iyopewa fedha na mfuko huo zaidi ya shilingi milioni 155 na kuridhishwa na matumizi yake.
...
Posted on: July 30th, 2025
Wakuu wa shule na walimu wa kidato cha sita Halmashauri ya Mji Newala wamepongezwa kwa jitihada zao za kuhakikisha wanafunzi wanafanya vizuri katika mtihani wao wa taifa mwaka 2025.
“Kwanza niwapon...