Posted on: August 14th, 2025
Katika kuadhimisha ya siku ya vijana duniani Agosti 12, 2025 jamii imetakiwa kuwapatia fursa na kuwaamini vijana kama njia muhimu ya kuyafikia malengo mbalimbali ya kitaifa.
Rai hiyo imetolewa na a...
Posted on: August 13th, 2025
Halmashauri ya Mji Newala imeishukuru taasisi binafsi ya kitaifa inayodhibiti saratani ya matiti JHPIEGO kwa kuwawezesha matabibu na wauguzi kupata ujuzi wa kufanya uchunguzi na kubaini wagonjwa.
T...
Posted on: August 12th, 2025
Halmashauri ya Mji Newala kwa mwaka wa fedha 2024/2025 imepokea shilingi bilioni 3.38 kutoka serikali kuu na wadau wamaendeleo kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya elimu kwa shule za msingi na sekond...